Proverbs 3:33-35


33 aLaana ya Bwana i juu ya nyumba ya mwovu,
lakini yeye huibariki nyumba ya mwenye haki.

34 bHuwadhihaki wale wanaodhihaki,
lakini huwapa neema wale wanyenyekevu.

35 Wenye hekima hurithi heshima,
bali huwaaibisha wapumbavu.
Copyright information for SwhKC